Amosi 8:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ameapa kwa Fahari ya Yakobo,+‘Sitasahau kamwe matendo yao yote.+ 8 Kwa sababu hiyo nchi* itatetemeka,Na kila mkaaji nchini ataomboleza.+ Je, nchi yote haitapanda kama Mto Nile,Na kuinuka na kushuka chini kama Mto Nile wa Misri?’+
7 Yehova ameapa kwa Fahari ya Yakobo,+‘Sitasahau kamwe matendo yao yote.+ 8 Kwa sababu hiyo nchi* itatetemeka,Na kila mkaaji nchini ataomboleza.+ Je, nchi yote haitapanda kama Mto Nile,Na kuinuka na kushuka chini kama Mto Nile wa Misri?’+