13 “Waefraimu walipoongea, watu walitetemeka;
Walikuwa maarufu miongoni mwa Waisraeli.+
Lakini wakawa na hatia kuhusiana na Baali,+ nao wakafa.
2 Sasa wanazidisha dhambi yao
Na kutengeneza sanamu za madini kwa fedha yao;+
Wanatengeneza sanamu kwa ustadi, hizo zote ni kazi za mafundi.
Wanasema hivi mbele ya sanamu hizo: ‘Watu wanaotoa dhabihu na wabusu ndama hawa.’+