Isaya 1:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Jiosheni, jisafisheni;+Ondoeni matendo yenu maovu mbele za macho yangu;Acheni kutenda mabaya.+ 17 Jifunzeni kutenda mema, tafuteni haki,+Mrekebisheni mkandamizaji,Teteeni haki za yatima,Nanyi mteteeni mjane.”+ Mika 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema. Na Yehova anataka* nini kutoka kwako? Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+
16 Jiosheni, jisafisheni;+Ondoeni matendo yenu maovu mbele za macho yangu;Acheni kutenda mabaya.+ 17 Jifunzeni kutenda mema, tafuteni haki,+Mrekebisheni mkandamizaji,Teteeni haki za yatima,Nanyi mteteeni mjane.”+
8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema. Na Yehova anataka* nini kutoka kwako? Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+