Yeremia 31:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Yehova anasema hivi: “Mlilieni Yakobo kwa shangwe. Pigeni vigelegele vya shangwe kwa sababu mko juu ya mataifa.+ Tangazeni jambo hilo; sifuni na kusema,‘Ee Yehova, waokoe watu wako, Waisraeli wanaobaki.’+ Zekaria 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitaifanya nyumba ya Yuda iwe kuu sana,Nami nitaiokoa nyumba ya Yosefu.+ Nitawarudisha,Kwa maana nitawaonyesha rehema;+Nao watakuwa kama watu ambao sijawahi kuwatupa;+Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao, nami nitawajibu.
7 Kwa maana Yehova anasema hivi: “Mlilieni Yakobo kwa shangwe. Pigeni vigelegele vya shangwe kwa sababu mko juu ya mataifa.+ Tangazeni jambo hilo; sifuni na kusema,‘Ee Yehova, waokoe watu wako, Waisraeli wanaobaki.’+
6 Nitaifanya nyumba ya Yuda iwe kuu sana,Nami nitaiokoa nyumba ya Yosefu.+ Nitawarudisha,Kwa maana nitawaonyesha rehema;+Nao watakuwa kama watu ambao sijawahi kuwatupa;+Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao, nami nitawajibu.