Yeremia 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+ Yeremia 25:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 na watu wa mataifa mbalimbali waliochangamana nao; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa nchi ya Wafilisti,+ Ashkeloni,+ Gaza, Ekroni, na watu waliobaki wa Ashdodi; Yeremia 47:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Hili ndilo neno la Yehova kwa nabii Yeremia kuwahusu Wafilisti,+ kabla ya Farao kushambulia Gaza. Zekaria 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Jiji la Ashkeloni litaona jambo hilo na kuogopa;Gaza litahisi maumivu makali sana,Ekroni pia, kwa sababu tumaini lake limeaibishwa. Mfalme wa Gaza ataangamizwa,Na Ashkeloni halitakaliwa na watu.+
17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+
20 na watu wa mataifa mbalimbali waliochangamana nao; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa nchi ya Wafilisti,+ Ashkeloni,+ Gaza, Ekroni, na watu waliobaki wa Ashdodi;
5 Jiji la Ashkeloni litaona jambo hilo na kuogopa;Gaza litahisi maumivu makali sana,Ekroni pia, kwa sababu tumaini lake limeaibishwa. Mfalme wa Gaza ataangamizwa,Na Ashkeloni halitakaliwa na watu.+