Kumbukumbu la Torati 28:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Mtazaa wana na mabinti, lakini hawataendelea kuwa wenu, kwa sababu watapelekwa utekwani.+ Amosi 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Msitafute Betheli,+Msiende Gilgali+ wala msivuke kwenda Beer-sheba,+Kwa maana Gilgali hakika litapelekwa uhamishoni,+Na Betheli litaangamizwa.*
5 Msitafute Betheli,+Msiende Gilgali+ wala msivuke kwenda Beer-sheba,+Kwa maana Gilgali hakika litapelekwa uhamishoni,+Na Betheli litaangamizwa.*