Isaya 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama Yehova wa majeshi hangetuachia waokokaji wachache,Tungekuwa kama Sodoma,Na tungefanana na Gomora.+ Amosi 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kundi hilo la nzige lilipomaliza kula mimea nchini, nikasema: “Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, tafadhali samehe!+ Yakobo ataendeleaje kuishi?* Kwa maana yuko dhaifu!”+
9 Kama Yehova wa majeshi hangetuachia waokokaji wachache,Tungekuwa kama Sodoma,Na tungefanana na Gomora.+
2 Kundi hilo la nzige lilipomaliza kula mimea nchini, nikasema: “Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, tafadhali samehe!+ Yakobo ataendeleaje kuishi?* Kwa maana yuko dhaifu!”+