Isaya 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeyote atakayebaki Sayuni na kuachwa Yerusalemu ataitwa mtakatifu, wale wote walio Yerusalemu walioandikwa kwa ajili ya uzima.+ Zekaria 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yehova anasema hivi: ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa Yerusalemu;+ na Yerusalemu litaitwa jiji la ukweli,*+ na mlima wa Yehova wa majeshi utaitwa mlima mtakatifu.’”+
3 Yeyote atakayebaki Sayuni na kuachwa Yerusalemu ataitwa mtakatifu, wale wote walio Yerusalemu walioandikwa kwa ajili ya uzima.+
3 “Yehova anasema hivi: ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa Yerusalemu;+ na Yerusalemu litaitwa jiji la ukweli,*+ na mlima wa Yehova wa majeshi utaitwa mlima mtakatifu.’”+