Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 49:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Na lazima Edomu awe kitu cha kutisha.+ Kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa hofu na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote. 18 Kama Sodoma na Gomora na miji jirani ilivyoangamizwa,”+ Yehova anasema, “hakuna mtu atakayekaa huko, na hakuna mtu atakayeishi huko.+

  • Ezekieli 35:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kama ulivyoshangilia urithi wa watu wa nyumba ya Israeli ulipofanywa ukiwa, hivyo ndivyo nitakavyokutendea.+ Utakuwa magofu yaliyo ukiwa, ewe eneo lenye milima la Seiri, naam, Edomu yote;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki