Isaya 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao watashuka chini kwa ghafla kwenye miteremko ya* Wafilisti upande wa magharibi;Wakiwa pamoja watawapora watu wa Mashariki. Wataunyoosha mkono wao dhidi ya* Edomu+ na Moabu,+Na Waamoni watakuwa raia wao.+ Amosi 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nitawaangamiza wakaaji wa Ashdodi,+Na mtawala* wa Ashkeloni;+Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni,+Na Wafilisti wanaobaki wataangamia,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’
14 Nao watashuka chini kwa ghafla kwenye miteremko ya* Wafilisti upande wa magharibi;Wakiwa pamoja watawapora watu wa Mashariki. Wataunyoosha mkono wao dhidi ya* Edomu+ na Moabu,+Na Waamoni watakuwa raia wao.+
8 Nitawaangamiza wakaaji wa Ashdodi,+Na mtawala* wa Ashkeloni;+Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni,+Na Wafilisti wanaobaki wataangamia,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’