5 Utapanda tena mashamba ya mizabibu kwenye milima ya Samaria;+
Wanaopanda watapanda na kufurahia matunda yake.+
6 Kwa maana siku itafika ambayo walinzi walio kwenye milima ya Efraimu watapaza sauti wakisema:
‘Inukeni, twendeni juu Sayuni, kwa Yehova Mungu wetu.’”+