Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana hutaniacha* Kaburini.*+

      Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.*+

  • Zaburi 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ee Yehova, umeniinua* kutoka Kaburini.*+

      Ulifanya niendelee kuwa hai; uliniokoa nisizame shimoni.*+

  • Isaya 38:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tazama! Badala ya amani, nilikuwa na uchungu mwingi;

      Lakini kwa sababu ulinipenda sana,*

      Uliniokoa kutokana na shimo la maangamizi.+

      Umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.*+

  • Matendo 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 aliona mapema na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* wala mwili wake haukuona uharibifu.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki