Zaburi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana hutaniacha* Kaburini.*+ Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.*+ Zaburi 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, umeniinua* kutoka Kaburini.*+ Ulifanya niendelee kuwa hai; uliniokoa nisizame shimoni.*+ Isaya 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama! Badala ya amani, nilikuwa na uchungu mwingi;Lakini kwa sababu ulinipenda sana,*Uliniokoa kutokana na shimo la maangamizi.+ Umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.*+ Matendo 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 aliona mapema na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* wala mwili wake haukuona uharibifu.*+
3 Ee Yehova, umeniinua* kutoka Kaburini.*+ Ulifanya niendelee kuwa hai; uliniokoa nisizame shimoni.*+
17 Tazama! Badala ya amani, nilikuwa na uchungu mwingi;Lakini kwa sababu ulinipenda sana,*Uliniokoa kutokana na shimo la maangamizi.+ Umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.*+
31 aliona mapema na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* wala mwili wake haukuona uharibifu.*+