Zaburi 91:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mungu alisema: “Kwa sababu ananipenda,* nitamwokoa.+ Nitamlinda kwa sababu analijua* jina langu.+ 15 Ataniita, nami nitamjibu.+ Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+ Nitamwokoa na kumtukuza. Mathayo 12:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa katika tumbo la samaki mkubwa kwa siku tatu mchana na usiku,+ ndivyo Mwana wa binadamu atakavyokuwa katika moyo wa ardhi siku tatu mchana na usiku.+
14 Mungu alisema: “Kwa sababu ananipenda,* nitamwokoa.+ Nitamlinda kwa sababu analijua* jina langu.+ 15 Ataniita, nami nitamjibu.+ Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+ Nitamwokoa na kumtukuza.
40 Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa katika tumbo la samaki mkubwa kwa siku tatu mchana na usiku,+ ndivyo Mwana wa binadamu atakavyokuwa katika moyo wa ardhi siku tatu mchana na usiku.+