Kumbukumbu la Torati 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Hupaswi kuwa na aina mbili za mawe ya mizani katika mfuko wako,+ jiwe kubwa na dogo. Methali 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mizani ya uwongo* humchukiza Yehova,Lakini kipimo sahihi* humfurahisha.+ Hosea 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mfanyabiashara ana mizani ya udanganyifu mkononi mwake;Anapenda kuwapunja watu.+