Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 44:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Unatufanya kuwa shutuma kwa majirani wetu,

      Kitu cha kudhihakiwa na kufanyiwa mzaha na wale wote wanaotuzunguka.

  • Yeremia 51:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Tumeaibishwa, kwa maana tumesikia dhihaka.

      Nyuso zetu zimefunikwa kwa fedheha,

      Kwa maana watu wa nchi ya kigeni* wameshambulia mahali patakatifu pa nyumba ya Yehova.”+

  • Maombolezo 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kumbuka, Ee Yehova, yale ambayo yametupata.

      Tazama na uone aibu yetu.+

  • Danieli 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ee Yehova, kulingana na matendo yako yote ya uadilifu,+ tafadhali, iondoe hasira na ghadhabu yako kutoka katika jiji lako Yerusalemu, mlima wako mtakatifu; kwa maana dhambi zetu na makosa ya mababu zetu yamefanya Yerusalemu na watu wako wawe kitu cha kushutumiwa na watu wote wanaotuzunguka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki