-
Isaya 63:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Nao wakazikumbuka siku za zamani,
Siku za Musa mtumishi wake:
“Yuko wapi Yule aliyewapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+
Yuko wapi Yule aliyetia ndani yake roho Yake takatifu,+
-
Yeremia 23:7, 8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 “Hata hivyo, siku zinakuja,” asema Yehova, “wakati ambapo hawatasema tena, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, aliyewatoa watu wa Israeli nchini Misri!’+ 8 badala yake watasema, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, aliyewatoa na kuwarudisha wazao wa nyumba ya Israeli kutoka katika nchi ya kaskazini na kutoka katika nchi zote nilizowatawanya,’ nao watakaa katika nchi yao wenyewe.”+
-
-
-