Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Alifanya maajabu mbele ya mababu zao,+

      Katika nchi ya Misri, eneo la Soani.+

  • Isaya 63:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wakazikumbuka siku za zamani,

      Siku za Musa mtumishi wake:

      “Yuko wapi Yule aliyewapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+

      Yuko wapi Yule aliyetia ndani yake roho Yake takatifu,+

  • Yeremia 23:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Hata hivyo, siku zinakuja,” asema Yehova, “wakati ambapo hawatasema tena, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, aliyewatoa watu wa Israeli nchini Misri!’+ 8 badala yake watasema, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, aliyewatoa na kuwarudisha wazao wa nyumba ya Israeli kutoka katika nchi ya kaskazini na kutoka katika nchi zote nilizowatawanya,’ nao watakaa katika nchi yao wenyewe.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki