Kumbukumbu la Torati 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ndipo Yehova Mungu wenu atakapowarudisha mateka wenu+ na kuwaonyesha ninyi rehema+ na kuwakusanya tena kutoka katika mataifa yote ambako Yehova Mungu wenu aliwatawanya.+ Zaburi 103:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwenye rehema na mwenye huruma,*+Si mwepesi wa hasira naye ana upendo mwingi mshikamanifu.*+ Zaburi 103:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama baba anavyowaonyesha wanawe rehema,Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+ Hosea 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nitakuchumbia ili uwe wangu milele;Nitakuchumbia kwa uadilifu na kwa haki,Kwa upendo mshikamanifu na kwa rehema.+
3 ndipo Yehova Mungu wenu atakapowarudisha mateka wenu+ na kuwaonyesha ninyi rehema+ na kuwakusanya tena kutoka katika mataifa yote ambako Yehova Mungu wenu aliwatawanya.+
8 Yehova ni mwenye rehema na mwenye huruma,*+Si mwepesi wa hasira naye ana upendo mwingi mshikamanifu.*+
13 Kama baba anavyowaonyesha wanawe rehema,Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+
19 Nitakuchumbia ili uwe wangu milele;Nitakuchumbia kwa uadilifu na kwa haki,Kwa upendo mshikamanifu na kwa rehema.+