Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ‘Lakini macho yako na moyo wako unakazia tu faida yako isiyo ya haki,

      Kumwaga damu isiyo na hatia,

      Na kufanya ulaghai na unyang’anyi.’

  • Ezekieli 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndani yako wanapokea rushwa ili kumwaga damu.+ Unakopesha kwa riba+ au kwa faida,* nawe unachukua pesa kwa nguvu kutoka kwa majirani zako.+ Naam, umenisahau kabisa,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

  • Ezekieli 22:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Watu wa nchi wamewapunja watu na kuwanyang’anya vitu vyao,+ wamewatesa wenye uhitaji na maskini, nao wamempunja mkaaji mgeni na kumnyima haki.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki