Yeremia 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana sauti ya maombolezo imesikika kutoka Sayuni:+ “Jinsi tulivyoangamizwa! Jinsi aibu yetu ilivyo nyingi! Kwa maana tumeiacha nchi, nao wamezibomoa nyumba zetu.”+ Yeremia 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Yehova anasema hivi: “Tazama, ninawatupa* nje wakaaji wa dunia wakati huu,+Nami nitawafanya wataabike.”
19 Kwa maana sauti ya maombolezo imesikika kutoka Sayuni:+ “Jinsi tulivyoangamizwa! Jinsi aibu yetu ilivyo nyingi! Kwa maana tumeiacha nchi, nao wamezibomoa nyumba zetu.”+
18 Kwa maana Yehova anasema hivi: “Tazama, ninawatupa* nje wakaaji wa dunia wakati huu,+Nami nitawafanya wataabike.”