Isaya 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hawatakuwa na njaa, wala hawatakuwa na kiu,+Wala joto kali wala jua halitawachoma.+ Kwa maana Yule anayewaonyesha rehema atawaongoza,+Naye atawaongoza kando ya chemchemi za maji.+ Isaya 52:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana hamtaondoka kwa wasiwasi,Wala hamtahitaji kukimbia,Kwa maana Yehova atawatangulia,+Na Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi nyuma yenu.+
10 Hawatakuwa na njaa, wala hawatakuwa na kiu,+Wala joto kali wala jua halitawachoma.+ Kwa maana Yule anayewaonyesha rehema atawaongoza,+Naye atawaongoza kando ya chemchemi za maji.+
12 Kwa maana hamtaondoka kwa wasiwasi,Wala hamtahitaji kukimbia,Kwa maana Yehova atawatangulia,+Na Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi nyuma yenu.+