Isaya 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hawatasababisha madhara yoyote+Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+ Zekaria 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yehova anasema hivi: ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa Yerusalemu;+ na Yerusalemu litaitwa jiji la ukweli,*+ na mlima wa Yehova wa majeshi utaitwa mlima mtakatifu.’”+
9 Hawatasababisha madhara yoyote+Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+
3 “Yehova anasema hivi: ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa Yerusalemu;+ na Yerusalemu litaitwa jiji la ukweli,*+ na mlima wa Yehova wa majeshi utaitwa mlima mtakatifu.’”+