-
2 Wafalme 17:7, 8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Hilo lilitendeka kwa sababu Waisraeli walimtendea dhambi Yehova Mungu wao, aliyewatoa nchini Misri kutoka mikononi mwa Farao mfalme wa Misri.+ Waliabudu* miungu mingine,+ 8 wakafuata desturi za mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya Waisraeli, nao wakafuata desturi zilizoanzishwa na wafalme wa Israeli.
-