Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ni watu wachache tu waliobaki watakaorudi,

      Watu wa Yakobo waliobaki, watarudi kwa Mungu Mwenye Nguvu.+

  • Mika 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hakika nitawakusanya ninyi nyote, enyi watu wa Yakobo;

      Kwa kweli nitawakusanya pamoja wale wanaobaki wa Israeli.+

      Kwa umoja nitawaweka kama kondoo zizini,

      Kama kundi la kondoo katika malisho yake;+

      Litakuwa na kelele za watu.’+

  • Mika 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,

      Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+

      Hutaendelea kuwa na hasira milele,

      Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki