Isaya 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ni watu wachache tu waliobaki watakaorudi,Watu wa Yakobo waliobaki, watarudi kwa Mungu Mwenye Nguvu.+ Mika 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hakika nitawakusanya ninyi nyote, enyi watu wa Yakobo;Kwa kweli nitawakusanya pamoja wale wanaobaki wa Israeli.+ Kwa umoja nitawaweka kama kondoo zizini,Kama kundi la kondoo katika malisho yake;+Litakuwa na kelele za watu.’+ Mika 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+
21 Ni watu wachache tu waliobaki watakaorudi,Watu wa Yakobo waliobaki, watarudi kwa Mungu Mwenye Nguvu.+
12 Kwa hakika nitawakusanya ninyi nyote, enyi watu wa Yakobo;Kwa kweli nitawakusanya pamoja wale wanaobaki wa Israeli.+ Kwa umoja nitawaweka kama kondoo zizini,Kama kundi la kondoo katika malisho yake;+Litakuwa na kelele za watu.’+
18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+