Mathayo 26:67 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Kisha wakamtemea mate usoni+ na kumpiga ngumi.+ Wengine wakampiga makofi usoni,+ Yohana 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baada ya kusema hivyo, mmoja wa maofisa aliyekuwa amesimama hapo karibu akampiga Yesu kofi usoni+ na kusema: “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu mkuu wa makuhani?” Yohana 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 nao walikuwa wakija na kumwambia: “Salamu,* ewe Mfalme wa Wayahudi!” Pia walikuwa wakimpiga makofi usoni.+
22 Baada ya kusema hivyo, mmoja wa maofisa aliyekuwa amesimama hapo karibu akampiga Yesu kofi usoni+ na kusema: “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu mkuu wa makuhani?”
3 nao walikuwa wakija na kumwambia: “Salamu,* ewe Mfalme wa Wayahudi!” Pia walikuwa wakimpiga makofi usoni.+