5 Keti hapo kimya na uingie gizani,
Ewe binti ya Wakaldayo;+
Hawatakuita tena Bimkubwa wa Falme.+
6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+
Niliutia unajisi urithi wangu,+
Nami nikawatia mkononi mwako.+
Lakini hukuwaonyesha rehema.+
Hata juu ya wazee uliweka nira nzito.+