Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 47:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Keti hapo kimya na uingie gizani,

      Ewe binti ya Wakaldayo;+

      Hawatakuita tena Bimkubwa* wa Falme.+

       6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+

      Niliutia unajisi urithi wangu,+

      Nami nikawatia mkononi mwako.+

      Lakini hukuwaonyesha rehema.+

      Hata juu ya wazee uliweka nira nzito.+

  • Yeremia 51:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa Ukaldayo

      Kwa sababu ya uovu wote ambao wametenda huko Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.

  • Zekaria 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hasira kali nimeyakasirikia mataifa yanayostarehe,+ kwa sababu niliwakasirikia kidogo watu wangu,+ lakini yalizidisha msiba wao.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki