Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunidharau mpaka lini,+ watakataa kuniamini mpaka lini licha ya miujiza yote niliyofanya miongoni mwao?+ 12 Acha niwapige kwa ugonjwa hatari* na kuwafukuza, na acha nikufanye wewe kuwa taifa kubwa zaidi na lenye nguvu zaidi kuliko wao.”+

  • Hesabu 16:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Kisha Musa akamwambia Haruni, “Chukua chetezo uweke moto ndani yake kutoka katika madhabahu+ na uweke uvumba juu yake, nawe uende haraka kwao na kuufukiza ili dhambi yao ifunikwe,+ kwa sababu Yehova amekasirika. Pigo limeanza!”

  • Hesabu 25:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Waisraeli walipokuwa wakikaa Shitimu,+ watu walianza kufanya uasherati na mabinti wa Moabu.+

  • Hesabu 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watu waliokufa kutokana na pigo hilo walikuwa 24,000.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki