Isaya 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndiyo maana nitazifanya mbingu zitetemekeNa dunia itatikiswa itoke mahali pake+Kwa sababu ya ghadhabu ya Yehova wa majeshi katika siku ya hasira yake inayowaka. Hagai 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Mwambie Zerubabeli, gavana wa Yuda, ‘Nitazitikisa mbingu na dunia.+
13 Ndiyo maana nitazifanya mbingu zitetemekeNa dunia itatikiswa itoke mahali pake+Kwa sababu ya ghadhabu ya Yehova wa majeshi katika siku ya hasira yake inayowaka.