-
Kutoka 15:14, 15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Wakaaji wote wa Kanaani watavunjika moyo.+
-
-
Hesabu 22:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 na Wamoabu wakawaogopa sana Waisraeli, kwa sababu walikuwa wengi sana; naam, Wamoabu wakafadhaika kwa hofu kwa sababu ya Waisraeli.+ 4 Basi Wamoabu wakawaambia wazee wa Midiani:+ “Sasa umati huu utaramba eneo letu lote kama ng’ombe dume anavyokula nyasi shambani.”
Balaki mwana wa Sipori ndiye aliyekuwa mfalme wa Moabu wakati huo.
-