Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ni lazima mataifa yasikie;+ yatatetemeka;

      Wakaaji wa Ufilisti watashikwa na maumivu makali.*

      15 Wakati huo mashehe* wa Edomu wataogopa sana,

      Na watawala wenye nguvu* wa Moabu watatetemeka.+

      Wakaaji wote wa Kanaani watavunjika moyo.+

  • Hesabu 22:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 na Wamoabu wakawaogopa sana Waisraeli, kwa sababu walikuwa wengi sana; naam, Wamoabu wakafadhaika kwa hofu kwa sababu ya Waisraeli.+ 4 Basi Wamoabu wakawaambia wazee wa Midiani:+ “Sasa umati huu utaramba eneo letu lote kama ng’ombe dume anavyokula nyasi shambani.”

      Balaki mwana wa Sipori ndiye aliyekuwa mfalme wa Moabu wakati huo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki