26 ‘Mlewesheni,+ kwa maana amejikweza dhidi ya Yehova.+
Moabu anagaagaa katika matapishi yake,
Naye ni kitu cha kudhihakiwa.
27 Je, kwako Israeli hakuwa kitu cha kudhihakiwa?+
Je, alipatikana kati ya wezi,
Hivi kwamba utikise kichwa chako na kumshutumu?