Maombolezo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Barabara zinazoelekea Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+ Malango yake yote yamebaki ukiwa;+ makuhani wake wanalia kwa uchungu. Mabikira* wake wanaomboleza, naye analia kwa maumivu makali. Maombolezo 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Anakitendea kwa ukatili kibanda chake,+ kama kibanda kilicho katika bustani. Amekomesha* sherehe yake.+ Yehova amesababisha sherehe na sabato zisahauliwe Sayuni,Na kwa ghadhabu yake kali hamheshimu mfalme na kuhani.+
4 Barabara zinazoelekea Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+ Malango yake yote yamebaki ukiwa;+ makuhani wake wanalia kwa uchungu. Mabikira* wake wanaomboleza, naye analia kwa maumivu makali.
6 Anakitendea kwa ukatili kibanda chake,+ kama kibanda kilicho katika bustani. Amekomesha* sherehe yake.+ Yehova amesababisha sherehe na sabato zisahauliwe Sayuni,Na kwa ghadhabu yake kali hamheshimu mfalme na kuhani.+