Mathayo 27:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi akavitupa vile vipande vya fedha hekaluni. Kisha akaenda zake akajinyonga.+ 6 Lakini wakuu wa makuhani wakachukua pesa hizo wakasema: “Si halali kuziweka katika hazina takatifu, kwa sababu ni bei ya damu.” Matendo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 (Mtu huyo alinunua shamba kwa mshahara wa ukosefu wa uadilifu,+ akaanguka kichwa kwanza, mwili wake ukapasuka* na matumbo yake yote yakamwagika.+
5 Basi akavitupa vile vipande vya fedha hekaluni. Kisha akaenda zake akajinyonga.+ 6 Lakini wakuu wa makuhani wakachukua pesa hizo wakasema: “Si halali kuziweka katika hazina takatifu, kwa sababu ni bei ya damu.”
18 (Mtu huyo alinunua shamba kwa mshahara wa ukosefu wa uadilifu,+ akaanguka kichwa kwanza, mwili wake ukapasuka* na matumbo yake yote yakamwagika.+