Isaya 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’ Yoeli 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Yehova atanguruma kutoka Sayuni,Atapaza sauti yake kutoka Yerusalemu. Na mbingu na dunia zitatikisika;Lakini Yehova atakuwa kimbilio kwa watu wake,+Ngome kwa watu wa Israeli. Zekaria 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Siku hiyo Yehova atakuwa ulinzi kuwazunguka wakaaji wa Yerusalemu;+ siku hiyo yule anayejikwaa* kati yao atakuwa kama Daudi, na nyumba ya Daudi itakuwa kama Mungu, kama malaika wa Yehova anayetangulia mbele yao.+
10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’
16 Na Yehova atanguruma kutoka Sayuni,Atapaza sauti yake kutoka Yerusalemu. Na mbingu na dunia zitatikisika;Lakini Yehova atakuwa kimbilio kwa watu wake,+Ngome kwa watu wa Israeli.
8 Siku hiyo Yehova atakuwa ulinzi kuwazunguka wakaaji wa Yerusalemu;+ siku hiyo yule anayejikwaa* kati yao atakuwa kama Daudi, na nyumba ya Daudi itakuwa kama Mungu, kama malaika wa Yehova anayetangulia mbele yao.+