Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 41:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+

      Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+

      Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+

      Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’

  • Yoeli 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Yehova atanguruma kutoka Sayuni,

      Atapaza sauti yake kutoka Yerusalemu.

      Na mbingu na dunia zitatikisika;

      Lakini Yehova atakuwa kimbilio kwa watu wake,+

      Ngome kwa watu wa Israeli.

  • Zekaria 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Siku hiyo Yehova atakuwa ulinzi kuwazunguka wakaaji wa Yerusalemu;+ siku hiyo yule anayejikwaa* kati yao atakuwa kama Daudi, na nyumba ya Daudi itakuwa kama Mungu, kama malaika wa Yehova anayetangulia mbele yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki