Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tazama! Siku ya Yehova inakuja,

      Ikiwa na ukali na ghadhabu na hasira inayowaka,

      Ili kuifanya nchi iwe kitu cha kutisha,+

      Na kuwaangamiza watenda dhambi wa nchi kutoka ndani yake.

      10 Kwa maana nyota za mbinguni na makundi yake ya nyota*+

      Hazitatoa nuru yake;

      Jua litakuwa na giza linapochomoza,

      Nao mwezi hautatoa mwanga wake.

  • Amosi 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ‘Ole wao wanaoitamani siku ya Yehova!+

      Basi, siku ya Yehova itamaanisha nini kwenu?+

      Itakuwa giza, wala si nuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki