9 Tazama! Siku ya Yehova inakuja,
Ikiwa na ukali na ghadhabu na hasira inayowaka,
Ili kuifanya nchi iwe kitu cha kutisha,+
Na kuwaangamiza watenda dhambi wa nchi kutoka ndani yake.
10 Kwa maana nyota za mbinguni na makundi yake ya nyota+
Hazitatoa nuru yake;
Jua litakuwa na giza linapochomoza,
Nao mwezi hautatoa mwanga wake.