Yoeli 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Jua litatiwa giza na mwezi utatiwa damu+Kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+ 1 Wathesalonike 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kwamba siku ya Yehova*+ inakuja kama vile mwizi anavyokuja usiku.+ 2 Petro 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini siku ya Yehova*+ itakuja kama mwizi,+ siku ambayo mbingu zitapitilia mbali+ kwa mngurumo,* lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa, na dunia na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+
31 Jua litatiwa giza na mwezi utatiwa damu+Kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+
2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kwamba siku ya Yehova*+ inakuja kama vile mwizi anavyokuja usiku.+
10 Lakini siku ya Yehova*+ itakuja kama mwizi,+ siku ambayo mbingu zitapitilia mbali+ kwa mngurumo,* lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa, na dunia na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+