22 Wanaume hao 300 wakaendelea kupiga pembe,* na Yehova akawafanya waanze kuuana wao kwa wao katika kambi yote;+ na jeshi likakimbia hadi Beth-shita, likafika Serera, hadi mpakani mwa Abel-mehola+ karibu na Tabathi.
21 “‘Nitauita upanga umshambulie kwenye milima yangu yote,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. ‘Upanga wa kila mtu utamshambulia ndugu yake mwenyewe.+