29 “Pia utatengeneza sahani, vikombe, magudulia, na mabakuli ya meza hiyo, vitu ambavyo watatumia kumimina matoleo ya vinywaji. Utatengeneza vyombo hivyo kwa dhahabu safi.+
7 “Pia watafunika meza ya mikate ya wonyesho+ kwa kitambaa cha bluu, na juu yake wataweka sahani, vikombe, mabakuli, na magudulia ya toleo la kinywaji;+ mikate ya wonyesho ambayo huwa juu ya meza hiyo daima+ inapaswa kubaki juu yake.