5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+
“‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Ndiye huyu mwanamume anayeitwa Chipukizi.+ Atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, naye atalijenga hekalu la Yehova.+