Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na tawi+ litakua kutoka kwenye kisiki cha Yese,+

      Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda.

  • Isaya 53:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Atapanda kama tawi+ mbele yake,* kama mzizi kutoka katika nchi iliyokauka.

      Hana umbo la kifahari, wala utukufu wowote;+

      Na tunapomwona, sura yake haituvutii.*

  • Isaya 53:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa sababu ya mateso* yake, ataona na kuridhika.

      Kupitia ujuzi wake, yule mwadilifu, mtumishi wangu,+

      Atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu,+

      Na dhambi zao atazibeba.+

  • Yeremia 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+

  • Yeremia 33:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siku hizo na wakati huo nitamchipushia Daudi chipukizi adilifu,*+ naye atatenda haki na uadilifu katika nchi.+

  • Zekaria 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nawe umwambie,

      “‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Ndiye huyu mwanamume anayeitwa Chipukizi.+ Atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, naye atalijenga hekalu la Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki