Mathayo 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mara moja Yesu akaunyoosha mkono wake, akamshika na kumwambia: “Wewe mwenye imani ndogo, kwa nini umekuwa na shaka?”+ Marko 4:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Basi akawauliza: “Kwa nini mnaogopa sana?* Je, bado hamna imani?”
31 Mara moja Yesu akaunyoosha mkono wake, akamshika na kumwambia: “Wewe mwenye imani ndogo, kwa nini umekuwa na shaka?”+