2 Kisha akawaambia: “Ndiyo, mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache. Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno awatume wafanyakazi katika mavuno yake.+
35 Je, ninyi hamsemi kwamba bado kuna miezi minne kabla ya mavuno? Tazama! Ninawaambia: Inueni macho yenu mtazame mashamba, kwamba ni meupe kwa ajili ya kuvunwa.+ Tayari