Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 35:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wakati huo macho ya vipofu yatafunguliwa,+

      Na masikio ya viziwi yatazibuliwa.+

       6 Wakati huo kilema ataruka kama paa,+

      Na ulimi wa bubu utapiga vigelegele vya shangwe.+

      Kwa maana maji yatabubujika nyikani,

      Na vijito katika jangwa tambarare.

  • Isaya 61:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Roho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova iko juu yangu,+

      Kwa sababu Yehova alinitia mafuta niwatangazie wapole habari njema.+

      Alinituma kuyafunga majeraha ya waliovunjika moyo,

      Kuwatangazia mateka uhuru

      Na kutangaza kwamba macho ya wafungwa yatafunguliwa kabisa,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki