2 Samweli 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Zamani, Sauli alipokuwa mfalme wetu, ni wewe uliyewaongoza Waisraeli vitani.*+ Na Yehova alikuambia hivi: ‘Utawachunga watu wangu Waisraeli, nawe utakuwa kiongozi wa Israeli.’”+ Mika 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na wewe, Ee Bethlehemu Efratha,+Uliye mdogo sana usiweze kuwa miongoni mwa maelfu ya* Yuda,+Kutoka kwako atatoka kwa ajili yangu yule atakayekuwa mtawala katika Israeli,Ambaye asili yake ni ya tangu nyakati za kale, tangu siku za zamani za kale.
2 Zamani, Sauli alipokuwa mfalme wetu, ni wewe uliyewaongoza Waisraeli vitani.*+ Na Yehova alikuambia hivi: ‘Utawachunga watu wangu Waisraeli, nawe utakuwa kiongozi wa Israeli.’”+
2 Na wewe, Ee Bethlehemu Efratha,+Uliye mdogo sana usiweze kuwa miongoni mwa maelfu ya* Yuda,+Kutoka kwako atatoka kwa ajili yangu yule atakayekuwa mtawala katika Israeli,Ambaye asili yake ni ya tangu nyakati za kale, tangu siku za zamani za kale.