-
Mathayo 18:8, 9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Basi, ikiwa mkono wako au mguu wako unakufanya ukwazike, ukate na kuutupa mbali nawe.+ Ni afadhali uingie katika uzima ukiwa kilema au kiwete kuliko kutupwa ndani ya moto wa milele ukiwa na mikono miwili au miguu miwili.+ 9 Pia, ikiwa jicho lako linakufanya ukwazike, ling’oe na kulitupa mbali nawe. Afadhali uingie katika uzima ukiwa na jicho moja kuliko kutupwa katika Gehena* ya moto ukiwa na macho mawili.+
-