-
Yohana 11:57Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
57 Lakini wakuu wa makuhani na Mafarisayo walikuwa wametoa agizo kwamba ikiwa mtu yeyote angejua mahali alipo Yesu, alipaswa kuwajulisha ili wamkamate.
-