Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 14:32-36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Basi wakafika mahali panapoitwa Gethsemane, akawaambia wanafunzi wake: “Ketini hapa ninaposali.”+ 33 Akaondoka pamoja na Petro, Yakobo, na Yohana,+ naye akaanza kufadhaika* na kutaabika sana. 34 Akawaambia: “Nimehuzunika* sana,+ kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mwendelee kukesha.”+ 35 Akasonga mbele kidogo, akaanguka chini na kuanza kusali kwamba ikiwezekana, saa hiyo ipitilie mbali kutoka kwake. 36 Naye akasema: “Abba,* Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; niondolee kikombe hiki. Lakini si kama ninavyotaka, bali unavyotaka.”+

  • Luka 22:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Walipofika huko akawaambia: “Endeleeni kusali ili msiingie katika majaribu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki