Marko 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sasa ilikuwa siku mbili kabla+ ya Pasaka+ na Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Nao wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta njia ya kumkamata Yesu kwa hila* na kumuua;+ Luka 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Waandishi na wakuu wa makuhani walitambua kwamba mfano aliosema uliwahusu, basi walitaka kumkamata saa hiyo hiyo, lakini waliwaogopa watu.+
14 Sasa ilikuwa siku mbili kabla+ ya Pasaka+ na Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Nao wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta njia ya kumkamata Yesu kwa hila* na kumuua;+
19 Waandishi na wakuu wa makuhani walitambua kwamba mfano aliosema uliwahusu, basi walitaka kumkamata saa hiyo hiyo, lakini waliwaogopa watu.+