Luka 19:47, 48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Akaendelea kufundisha kila siku hekaluni. Lakini wakuu wa makuhani, waandishi na viongozi wa watu walikuwa wakitaka kumuua;+ 48 hata hivyo hawakufanikiwa, kwa maana watu wote walikuwa wakimfuata sana ili wamsikilize.+
47 Akaendelea kufundisha kila siku hekaluni. Lakini wakuu wa makuhani, waandishi na viongozi wa watu walikuwa wakitaka kumuua;+ 48 hata hivyo hawakufanikiwa, kwa maana watu wote walikuwa wakimfuata sana ili wamsikilize.+