19 Akaona mtini kando ya barabara, akaukaribia lakini hakupata chochote ila majani tu,+ akauambia: “Usizae matunda tena kamwe.”+ Mara moja ule mtini ukanyauka. 20 Wanafunzi walipoona hilo, wakashangaa na kusema: “Kwa nini mtini huu umenyauka mara moja?”+