Mathayo 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Siku hizo Yohana+ Mbatizaji alikuja kuhubiri+ katika nyika ya Yudea, Mathayo 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi watu kutoka Yerusalemu na Yudea yote na maeneo yote yaliyokuwa karibu na Yordani walikuwa wakimwendea,+ Mathayo 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Herode* alikuwa amemkamata Yohana akamfunga na kumtia gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo ndugu yake.+ Mathayo 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hata hivyo, ingawa Herode alitaka kumuua, aliuogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+ Marko 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana Herode alimwogopa Yohana kwa kuwa alijua ni mtu mwadilifu na mtakatifu,+ naye alikuwa akimlinda. Baada ya kumsikiliza, hakujua la kufanya, lakini bado aliendelea kumsikiliza kwa furaha.
5 Basi watu kutoka Yerusalemu na Yudea yote na maeneo yote yaliyokuwa karibu na Yordani walikuwa wakimwendea,+
3 Herode* alikuwa amemkamata Yohana akamfunga na kumtia gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo ndugu yake.+
20 Kwa maana Herode alimwogopa Yohana kwa kuwa alijua ni mtu mwadilifu na mtakatifu,+ naye alikuwa akimlinda. Baada ya kumsikiliza, hakujua la kufanya, lakini bado aliendelea kumsikiliza kwa furaha.