Mathayo 26:61 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 na kusema: “Mtu huyu alisema, ‘Ninaweza kuliangusha chini hekalu la Mungu na kulijenga kwa siku tatu.’”+ Marko 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wale waliokuwa wakipita hapo wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao+ wakisema: “Aha! Wewe uliyetaka kuliangusha chini hekalu na kulijenga kwa siku tatu,+ Yohana 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu akawajibu: “Libomoeni hekalu hili, na kwa siku tatu nitalisimamisha.”+
61 na kusema: “Mtu huyu alisema, ‘Ninaweza kuliangusha chini hekalu la Mungu na kulijenga kwa siku tatu.’”+
29 Wale waliokuwa wakipita hapo wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao+ wakisema: “Aha! Wewe uliyetaka kuliangusha chini hekalu na kulijenga kwa siku tatu,+