Yohana 6:68, 69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Simoni Petro akamjibu: “Bwana, tutaenda kwa nani?+ Wewe una maneno ya uzima wa milele.+ 69 Tumeamini na tumejua kwamba wewe ndiye Mtakatifu wa Mungu.”+
68 Simoni Petro akamjibu: “Bwana, tutaenda kwa nani?+ Wewe una maneno ya uzima wa milele.+ 69 Tumeamini na tumejua kwamba wewe ndiye Mtakatifu wa Mungu.”+